106 – Huna Kitu Kwa Yesu?

0
39

106. Huna Kitu Kwa Yesu?
Nothing for Jesus

1. Ukitafuta mali, Huna wasaa kwa Yesu?
Kwa matendo ya haki Huna wasaa kwa Yesu?
Ansa za kunia, Mambo yako ya raha
Haya unatafuta; Huna wasaa kwa yesu?

2. Mambo yanakusonga: Kwake huna nafasi?
Watekwa na dunia, Kwake huna nafasi?
Humwani m-langoni, Anapopiga hodi?
Daima hukusihi: Kwake huna nafasi?

3. Sa-a ni za thamani, Kwake huna nafasi?
Wala hamfnyi bidii, Kwake hamnayo kazi?
Hamkufika kwao Waliomo shimoni
Na waliopotea? Kwake hamnayo kazi?

4. Na wazaa majani tu? Huna tunda kwa Yesu?
Mikono i mitupu, Huna tunda kwa Yesu?
Huna chembe kwa ghala kazi yako kulipa;
Wala huna furaha Unapomwona Yesu?

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here