142 – Nasikia Sauti Yako

0
42

142. Nasikia Sauti Yako
I hear Thy Welcome Voice

1. Nasikia mwito, Ni sauti yako;
Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako.

Nimesongea mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.

2. Ni mnyonge kweli, umenipa nguvu;
Ulivyonisfi taka Ni utimilivu.

3. Yesu hunijuvya: Mapenzi imani,
Tumai, amani, rahi, hapa na mbinguni.

4. Napata wokovu, Wema na neema;
Kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here