(NZK # 16) NINAKUHITAJI
(Blessed Lord, How Much I Need Thee!)
1. Bwana Ninakuhitaji Nimpofu, Maskini;
Unishike Mkononi, Kwako Napata Nguvu.
Kila Saa, Kila Saa Bwana Ninakuhitaji;
Kila Saa, Kila Saa Unilinde Kila Saa.
2. Univike Na Mavazi Ya Usikivu Wako;
Nguo Zangu Mi Machafu, Nazitamani Zako.
3. Wewe Ukiniongoza Nitakwenda Salama;
Nenda Nami Siku Zote, U Nuru Na Uzima.
4. Na Ikiwa M-Beleni Sehemu Yangu Ngumu,
Au Ikiwa Furaha, Unilinde Kila Saa.