180 – Pana Mahali Pazuri Mno

0
43

180. Pana Mahali Pazuri Mno
There’s a Land

1. Pana mahali pazuri mno,
Twapaona kwa mbali sasa;
Baba yetu angoja pale,
Amepanga makao yetu.

Kitambo tu bado,
Tutakutana ng’ambo pale.
Kitambo tu bado,
Tutakutana ng’ambo pale.

2. Tutaimba pale kwa moyo
Nyimbo tamu za wenye heri.
Na rohoni hatutaona
Tena haja ya kupumzika.

3. Kwa Baba yetu mkarimu
Tutatoa shukrani sana,
Kwa kipaji cha pendo lake
Na baraka anazotupa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here