(NZK # 78) MPAKA LINI BWANA
How Long, O Lord Our Saviour
1. Mpaka Lini Bwana; Utakaa Mbali?
Kemetuchosha Moyo; Kukawia Hivi.
Utatujia Lini, Ili Tu Furahi
Katika Ile Nuru, Kuja Kutukufu?
2. Mpaka Lini, Yesu, Utaacha Watu
Uliowakomboa; Wawe Na Mashaka?
Wachache Waamini; Kwamba Utarudi;
Wachache Wa Tayari; Bwana Kukulaki
3. Waamshe Watu Wako; Tangaza Kilio:
Mwe Watakatifu, Bwana Yu Karibu!”
Utatujia Lini, Ili Tu Furahi
Katika Ile Nuru, Kuja Kutukufu?