111 – Tabibu Mkuu

0
50

111. Tabibu Mkuu
The Great Physician

1. Tabibu mku-u huyu, Yesu mwenye huruma:
Atuletaye faraja : Yesu mwokozi wetu.

Imbeni, Malaika Sifa za bwana wetu;
Jina la pekee kwetu, ni la Yesu Bwana.

2. Mwana kondo-o msifuni Mwokozi:
Hatia zote na dhambi Huziondoa Yesu.

3. Hakuna jina jingine Linalofa-a sifa:
A-u kutufurahisha, Isipo kuwa lake.

4. Naye atakapokuja Na utukufu wake,
Tutafurahi milele kuka-a kwake Bwana.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here