131 – Baba Anilinda

0
36

131. Baba Anilinda
I Trust In God

1. Namtegemea Mungu niwapo
Humo barani na baharini,
Yeye wa mbinguni anilinda.
Baba wa mbinguni anilinda.

Namwamini, Mungu anitunza (anitunza)
Milimani (milimani) au baharini (baharini) Baharini
Moyo Wangu (moyo wangu.) aulinda (aulinda).
Baba wa mbinguni anilinda.

2. La waridi alinawirisha,
Na huyo tai juu angani,
Nami kweli ananilinda,
Baba wa mbinguni anilinda.

3. Tunduni mwa simba namwamini,
Kwenye vita ama gerezani,
Motoni na furikoni,
Baba wa mbinguni anilinda.

4. Bondeni mwa giza na upweke,
Mchunga wangu yuanilinda,
Kwa upole aniongoza.
Baba wa mbinguni anilinda.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here