118 – Nilipotoka Kabisa

0
41

118. Nilipotoka Kabisa
I’ve Wandered Far Away

1.Nilipotoka kabisa, sasa narudi
Nikakawia dhambini, Bwana narudi.

Narudi nyumbani: daima kwako.
Kwa upendo nipokee: Naja nyumbani.

2.Nikasusurika sana, sasa narudi
Mwenye uchungu natubu, Bwana narudi.

3.Nimechoka maovuni, sasa narudi;
Pendo lako lanivuta, Bwana narudi.

4. Ndilo tumaini langu, sasa narudi;
Yesu alinifilia, Bwana narudi.

5. Damu yake yanitosha, sasa narudi;
Unioshe kenyekenye, bwana narudi.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here