130 – Yesu Kwetu Ni Rafiki

0
37

130. Yesu Kwetu Ni Rafiki
What A Friend We Have In Jesus

1. Yesu kwetu ni rafiki, hwambiwa haja pia;
Tukiombawka Babaye, maombi asikia;
Lakini twajikosesha, twajitweka vibaya;
Kama tulimwomba Mungu, dua atasikia.

2. Una dhiki na maonjo? Unamashaka pia?
Haifai kufa moyo, dua atasikia.
Hakuna mwingine Mwema, wa kutuhurumia:
Atujua tu dhaifu: Maombi asikia.

3. Je, hunayo hata nguvu, Huwezi kwendelea,
Ujapodharauliwa. ujaporushwa pia.
Watu wange kudharau, wapendao dunia.
Hukwambata mikononi, dua atasikia.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here