154 – Yanipasa Kuwa Naye

0
42

154. Yanipasa Kuwa Naye
I Must Have The Saviour With Me

1. Yanipasa kuwa naye, Mwokozi Bwana wangu,
Akiwa karibu nami, napata nguvu kweli.

Moyo hauogopi, wala kitikisika.
Nitakwenda apendapo. Kwa kuwa anilinda.

2. Yanipasa kuwa naye, kwani nategemea;
Anaweza kufariji na maneno matamu.

3. Yanipasa kuwa naye maisha yangu yote;
Yakiwapo majaribu na mashaka yo yote.

4. Yanipasa kuwa naye katika njia zangu;
Macho yake yaongoza hatua zangu zote.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here