173 – Hatujui Saa

0
43

173. Hatujui Saa
We Know Not the Hour

1. Hatujui sa-a ya kuja kwwa Bwana, Lakini dakiki zasema karibu
Atakporudi,–lakini kwa kweli Hatujui sa-a.

Atakuja, kwa vile tukeshe;
Atakuja Mwokozi, Aleluya!
Atakuja kwa fahari yu Baba yake,–
Hatujui sa-a.

2. Pana nuru kwao wapendao haki, pana kweli katika chuo cha Mungu;
Unabii hufundisha kuja kwake,–Hatujui saa.

3. Tutakesha na tutaomba daima, Tutafanya kazi mpaka akija,
Tutaimba na tutasoma ishara,–Hatujui saa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here