86 – Ukaribie Tena

0
35

86. Ukaribie Tena
Welcome, Welcome, Day of Rest

1. Ukaribie tena, ewe siku ya raha;
Roho yakusalimu kama mwanga wa mbingu.

2. Raha yako tulivu, yafurahisha moyo;
Yatuliza taabu, hata waisha mwendo.

3. Ee siku takatifu, sifa na maombi,
Na kutuhekimisha., baraka yako kubwa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here