3 – Mungu Atukuzwe

0
53

(NZK # 3) MUNGU ATUKUZWE
(TO GOD BE THE GLORY)

  1. Mungu Atukuzwe Kwa Mambo Makuu,
    Upendo Wake Alitupa Yesu,
    Aliyejitoa Maisha Yake,
    Tuwe Nao Uzima Wa Milele.
    Msifu, Msifu, Dunia Sikia;
    Msifu, Msifu Watu Wafurahi;
    Na Uje Kwa Baba, Kwa Yesu Mwana,
    Ukamtukuze Kwa Mambo Yote.
  2. Wokovu Kamili, Zawadi Kwetu,
    Ahadi Ya Mungu Kwa Ulimwengu;
    Wanaomwamini Na Kuungama,
    Mara Moja Wale Husamehewa.
  3. Alitufundisha Mambo Makuu,
    Alihakikisha Wokovu Wetu;
    Lakini Zaidi. Ajabu Kubwa,
    Yesu Atarudi Na Tutamwona.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here